๐‘ท๐’“๐’†๐’Ž๐’Š๐’–๐’Ž ๐‘ฝ๐’†๐’“๐’”๐’Š๐’๐’|๐‘ญ๐’–๐’๐’ ๐‘ท๐’๐’”๐’•๐’” ๐‘ผ๐’๐’๐’๐’„๐’Œ ๐‘ต๐’๐’˜

DEMO ~ PAPER 130 - QNS


OFISI YA RAIS

TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA ( TAMISEMI )

HALMASHAURI YA WILAYA YA MPWAPWA

MTIHANI WA KWANZA WA MAANDALIZI KABLA YA MTIHANI WA TAIFA

021 KISWAHILI

MUDA : SAA 3.00 SEPTEMBA, 2023

MAELEKEZO:

  1. Jibu maswali yote


SEHEMU A: (Alama 16)

Jibu maswali yote katika sehemu hii.

1. Chagua herufi ya jibu sahihi katika vipengele (i) - (x), kisha andika herufi ya jibu sahihi hilo katika kijitabu chako cha kujibia.

  1. Mwalimu wa Kiswahili alisikika akiwasisitiza wanafunzi kuwa maana katika lugha hutengwa katika mafungu mawili, maana ya msingi na maana ya ziada. Je maana ya ziada katika lugha hushughulikiwa na tawi lipi la sarufi?

    1. Mofolojia

    2. Sintaksia

    3. Fonolojia

    4. Semantiki

    5. Plagmatiki

  1. Ni taratibu na kanuni zinazomwezesha mtumiaji yeyote wa lugha kufanya mambo yafuatayo; kutunga tungo sahihi, kuelewa sentensi zilizotungwa na mtu mwingine anayetumia lugha hiyo;

    1. Silabi

    2. Matamshi

    3. Fasihi

    4. Sanaa

    5. Sarufi

  1. _______ni mtu aliyepotoka katika moja ya utanzu wa ushairi na baadaye kupata elimu na kubadili msimamo wake.

    1. Maamuma

    2. Mjuaji

    3. Mjigambi

    4. Manju

    5. Gegedu

  1. Taasis ya Taaluma ya Kiswahili (TATAKI) ni moja kati ya asasi zilizofanyiwa maboresho kutoka kwenye asasi kongwe ambayo ni;

    1. TAKILUKI

    2. UKUTA

    3. TUKI

    4. CHAWAKAMA

    5. BAKITA


  1. Wakutanapo husalimiana. Mofimu iliyopigiwa mstari katika neno hili hutekeleza majukumu yapi ya kisaraufi?

  1. Hutumika kurejesha mtenda

  2. Kutumika kurejesha mtendwa

  3. Hutumika kurejesha mahali

  4. Hutumika kurejesha njeo

  5. Hutumika kueleza namna tendo linavyofanyika

  1. Ni mwaka ambao Kiswahili kiliteuliwa kuwa lugha rasmi Tanganyika;

    1. 1925

    2. 1930

    3. 1962

    4. 1928

    5. 1964

  1. Ipi kati ya sentensi zifuatazo ina kishazi tegemezi kielezi?

    1. Mbuzi aliyechinjwa jana ameliwa leo asubuhi

    2. Yanga inaongoza ligi

    3. Mwanafunzi anasoma alichofundishwa darasani

    4. Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alikuwa mtiifu sana

    5. Angelisoma kwa bidii angelisaidia familia yake.

  1. Bainisha sentensi sahihi kati ya sentensi zifuatazo;

A. Utakuja lini? "Mjomba aliniuliza"

    1. Mjomba "aliniuliza utakuja lini?

    2. Mjomba "aliniuliza utakuja lini"?

    3. Mjomba aliniuliza "utakuja lini?"

    4. "Mjomba aliniuliza utakuja" lini?

  1. "Mama Anna anakuja" tungo hii ni tata. Utata huo umesababishwa na;

    1. Msamiati "mama" kuwa na maana zaidi ya moja

    2. Matumizi yasiyokuwa bayana ya viunganishi na vihisishi

    3. Matumizi ya lugha ya fasihi

    4. Kutozingatia taratibu za uandishi

    5. Kuongeza vitamkwa visivyohitajika

  1. Soma sentensi ifuatayo kisha onesha ngeli ya nomino iliyo katika sentensi hiyo na utaje ni ngeli ya ngapi;

    1. U โ€“ ZI (Ngeli ya sita)

    2. U โ€“ YA (Ngeli ya saba)

    3. LI โ€“ YA (Ngeli ya tatu)

    4. U โ€“ YA (Ngeli ya tano)

    5. PA โ€“ MU โ€“ KU (Ngeli ya tisa)



QNS

i

ii

iii

iv

v

vi

vii

viii

ix

x

ANS











    1. Oanisha maelezo yaliyo katika Orodha A na ya Orodha B ili kupata jibu sahihi la maelezo hayo.

ORODHA A

ORODHA B

  1. Kipande cha tatu katika kila mshororo.

  2. Ni jumla ya mapigo katika kila mshororo.

  3. Mshororo wa pili katika shairi unaitwaje?

  4. Fungu la mstari lenye maana kamili.

  5. Irabu pia huitwa.

  6. Mshororo wa mwisho ambao hujirudia kwa kila ubeti huitwa;

  1. Kituo bahari

  2. Kituo kimalizio

  3. Mwandamizi

  4. Aya

  5. Mloto

  6. Utao

  7. Ubeti

  8. Mizani

  9. Vokali

  10. Masivina

  11. Sauti

  12. Vina



ORODHA A

i

ii

iii

iv

v

vi

ORODHA B







READ MORE

Cookie Consent
We serve cookies on this site to analyze traffic, remember your preferences, and optimize your experience.
Oops!
It seems there is something wrong with your internet connection. Please connect to the internet and start browsing again.
AdBlock Detected!
We have detected that you are using adblocking plugin in your browser.
The revenue we earn by the advertisements is used to manage this website, we request you to whitelist our website in your adblocking plugin.
Site is Blocked
Sorry! This site is not available in your country.