๐‘ท๐’“๐’†๐’Ž๐’Š๐’–๐’Ž ๐‘ฝ๐’†๐’“๐’”๐’Š๐’๐’|๐‘ญ๐’–๐’๐’ ๐‘ท๐’๐’”๐’•๐’” ๐‘ผ๐’๐’๐’๐’„๐’Œ ๐‘ต๐’๐’˜

DEMO ~PAPER 154 - QNS

OFISI YA RAIS

TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

HALMASHAURI YA WILAYA YA HAI

MTIHANI WA MAANDALIZI KIDATO CHA NNE

KISWAHII-2021 D A MUDA: SAA 3:00

Maelekezo:

  1. Karatasi hii ina sehemu A,B na Czenye jumla ya maswali kumi na mbili (12)

  2. Jibu maswali yote katika sehemu A na B na maswali matatu(3) kotoka katika sehemu C.

  3. Zingatia maagizo ya kila sehemu ya kila swali.

  4. Simu ya mkononi na vitu vyote visivyoruhusiwa havtakiwi katika chumba cha mntihani

  5. Andika nanba yako ya mtihani katika kila ukarasa wa kujibia.




SEHEMU A (ALAMA 15)

1. Jibu maswali yote katika sehemu hii.

i. Ni aina ya wahusika ambao hawabadiliki na wamepewa majina ambayo humfanya msomaji aelewe tabia na matendo yao

  1. wahusika wakuu

  2. wahusika bapa sugu

  3. wahusika duara

  4. wahusika bapa vielelezo

  5. wahusika shinda


ii. vishazi tegezi vimegawanyika katika aina kuu mbili

  1. vishazi tegemezi viwakilishi na vielezi

  2. vishazi tegemezi vivumishi na viunganishi

  3. vishazi tegemezi vivumishi na vielezi

  4. vishazi tegemezi vikuu na visaidizi

  5. vishazi tegemezi nomino na vihusishi


iii. Anatoa ufafanuzi juu ya ubantu wa Kiswahili kwa kueleza wakazi wa mwambao waliojulikana kama "Wazanji" na watawala wao waliojulikana kama "Wakilimi

  1. Ali- idris

  2. Al masudi

  3. Marco polo

  4. Ibin Batuta

  5. Fumo Lyongo


iv. Ni lahaja zinazopatikana Mombasa

  1. kitumbatu, kingazija, kimvita na kingare

  2. kizwani, kintang'ata, kimakunduchi na kimvita

  3. kijomvu, kingare, chichifundi, na kimvita

  4. kitumbatu, kingare, kimvita na chichifundi

  5. kimvita, chichifundi, kingazija, na kijomvu


v. Mofimu KU iliyopigiwa mstari imebeba dhima gani katika kitenzi sikukumbuka.

  1. ukanushi wakati uliopita

  2. ukanushi nafsi ya kwanza umoja

  3. kauli ya kutendeka

  4. kiambishi kirejeshi

  5. kudokea mtendwa


vi. sehemu ya mzizi asilia iliyoambikwa kiambishi "a" mwishoni

  1. shina

  2. mzizi huru

  3. mofu

  4. kauli

  5. mofimu huru.


vii. Ni tamathali ya semi ambayo jina la mtu hutumiwa kwa watu wengine wenye tabia,mienendo, hulka au kazi sawa na mtu huyo.

  1. Taniaba

  2. Tabaini

  3. Majazi

  4. Tashtiti

  5. Ritifaa


viii. Neno SHADARA limepatikana kwa kutumia njia gani ya uundaji wa maneno.

  1. kutohoa

  2. ufupishaji

  3. miambatano

  4. urudufishaji

  5. kukopa


ix. Chama cha kukuza na kueneza Kiswahili "TAKILUKI" kilianzishwa mwaka

  1. 1964

  2. 1967

  3. 1979

  4. 1972

  5. 1965


x. Aina ya hadithi za ngano zenye wahusika wanyama tu hujulikana kama,

  1. Hekaya

  2. Hurafa

  3. Istiara

  4. soga

  5. vigano


Swali

i

ii

iii

iv

v

vi

vii

viii

ix

x

Jibu











READ MORE

Cookie Consent
We serve cookies on this site to analyze traffic, remember your preferences, and optimize your experience.
Oops!
It seems there is something wrong with your internet connection. Please connect to the internet and start browsing again.
AdBlock Detected!
We have detected that you are using adblocking plugin in your browser.
The revenue we earn by the advertisements is used to manage this website, we request you to whitelist our website in your adblocking plugin.
Site is Blocked
Sorry! This site is not available in your country.