๐‘ท๐’“๐’†๐’Ž๐’Š๐’–๐’Ž ๐‘ฝ๐’†๐’“๐’”๐’Š๐’๐’|๐‘ญ๐’–๐’๐’ ๐‘ท๐’๐’”๐’•๐’” ๐‘ผ๐’๐’๐’๐’„๐’Œ ๐‘ต๐’๐’˜

|PAPER 08-QUESTIONS

 

OFISI YA RAIS

TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

UPIMAJI WA MKOA WA KIDATO CHA PILI

021 KISWAHILI

MUDA: SAA 2.30 FEBRUARI, 2025

MAELEKEZO

  1. Karatasi hii ina sehemu A, B, na C zenye jumla ya maswali kumi (10)

  2. Jibu maswali yote

  3. Sehemu A na C zina alama kumi na tano (15) kila moja na sehemu B ina alama sabini (70)

  4. Zingatia maelekezo ya kila sehemu na ya kila swali.

  5. Majibu yote yaandikwe kwa kalamu yenye wino wa bluu au mweusi.



KWA MATUMIZI YA OFISI TU

NAMBA YA SWALI

ALAMA

SAINI YA MTAHINI

1

2

3

4

5


6

7

8

9

10

JUMLA

SAHIHI YA MHAKIKI

SEHEMU A (ALAMA 15)

Jibu maswali yote katika sehemu hii

  1. Katika kipengele (i) hadi (x) chagua herufi ya jibu sahihi kisha andika herufi ya jibu hilo katika visanduku ulivyopewa

    1. โ€œKutwa mara tatu: asubuhi, mchana na jioniโ€ Dhima ya muundo wa mazungumzo haya ni ipi?

      1. Kupunguza ukali wa maneno

      2. Kufupisha urefu wa mazungumzo

      3. Kupamba lugha ya mazungumzo

      4. Kuonesha msisitizo wa mazungumzo

    2. Umepewa kazi na mwalimu wako wa Kiswahili kubainisha mofu huru katika maneno ya Kiswahili kati ya haya yafuatayo ni neno lipi limeundwa na mofu tajwa katika kazi uliyopewa?

      1. Uji B. Uzuri

C. Uchache D. Ufa

    1. Tumia ujuzi na maarifa uliyoyapata kwenye somo la Kiswahili kubainisha sentensi ambayo haina kitenzi kisaidizi kati ya hizi zifuatazo. A. Mwalimu Shabani alikuwa mtiifu sana.

      1. Ramadhani atakuja kutumbuiza kesho

      2. Mgeni alikuwa anasoma gazeti

      3. Wanafunzi wanatakiwa kulala mapema

    1. Vitabu vipo darasani japokuwa havitoshi. Je, wewe kama mtaalamu wa sarufi, neno lililopigiwa mstari linaingia katika kundi gani la maneno?

      1. Kivumishi B. Kihusishi C. Kielezi D. Kitenzi

    2. Katika neno โ€œtumechoshwaโ€ silabi ya mwisho ina muundo gani wa silabi?

      1. Irabu peke yake

      2. Konsonanti, konsonanti, kiyeyusho, irabu

      3. Konsonanti, konsonanti, konsonanti, irabu

      4. Konsonanti na irabu

    3. Adela ni mwanafunzi wa kidato cha pili. Aliambiwa na mwalimu wake atoe fasihi sahihi ya dhana ya โ€œufahamuโ€ na akaitoa kwa usahihi. Je, fasihi hiyo ni ipi kati ya hizi zifuatazo:

      1. Kujua, kufikiri na kuelewa jambo.

      2. Kuona, kusikiliza na kusoma jambo

      3. Kujua, kueleza na kufafanua jambo

      4. Kusoma, kusikiliza na kufikiri jambo

    4. Baada ya mafuriko kusomba vijiji vingi vya Rufiji, Waziri Mkuu alipowahutubia aliwaambia โ€œwapige moyo kondeโ€ je, semi hii ina maana ipi kati ya hizi zifuatazo:

      1. Kutaharuki B. Kusononeke

C. Kujikaza D. Kuhama

    1. Chukulia kuwa umepewa kazi ya kuandika insha ya kimasimulizi. Ni alama zipi utazitumia kunukuu maneno yaliyosemwa na mtu fulani?

      1. Mkato B. Nukta

C. Mabano D. Mtajo

    1. Zifuatazo ni sifa za barua ya kirafiki isipokuwa: A. Huandikwa kwa lengo la kijamii.

      1. Hazimpi mwandishi kuandika barua yenye urefu anaoutaka

      2. Humruhusu mwandishi kuandika barua yenye urefu anaoutaka

      3. Zina anwani moja tu

    1. Je, ni sentensi ipi ina muundo wa vipashio vifuatavyo: W + t + V + E

      1. Sisi ni wengi mno

      2. Mwalimu ni mrefu sana

      3. Wote tulikula wali jana

      4. Yeye aliimba vizuri sana

READ MORE

Cookie Consent
We serve cookies on this site to analyze traffic, remember your preferences, and optimize your experience.
Oops!
It seems there is something wrong with your internet connection. Please connect to the internet and start browsing again.
AdBlock Detected!
We have detected that you are using adblocking plugin in your browser.
The revenue we earn by the advertisements is used to manage this website, we request you to whitelist our website in your adblocking plugin.
Site is Blocked
Sorry! This site is not available in your country.