๐‘ท๐’“๐’†๐’Ž๐’Š๐’–๐’Ž ๐‘ฝ๐’†๐’“๐’”๐’Š๐’๐’|๐‘ญ๐’–๐’๐’ ๐‘ท๐’๐’”๐’•๐’” ๐‘ผ๐’๐’๐’๐’„๐’Œ ๐‘ต๐’๐’˜

DEMO|MASHAIRI YA CHEKACHEKA-UCHAMBUZI|Vol 01

 

MASHAIRI YA CHEKACHEKA-UCHAMBUZI|Vol 01

MWANDISHI-THEOBARD MVUNGI

WACHAPISHAJI - EP & D.LTD

MAUDHUI

DHAMIRA

1. Kutetea Haki

Mshairi anamshauri kiongozi wa nchi aendelee kuwasha moto dhidi ya watu wote wanaodhulumu haki za wengine. Katika shairi la MWINYI UMEWASHA MOTO ANGALIA USIZIMWE, mshairi anasema,

โ€œTumaini la wanyonge, kwamba ipo serikali,

Ile nchi ya mazonge, ya wenye meno makali,

Wanyang'anyao matonge, wanyonge hawana hali,

Mwinyi ukiwa mkali, ndio raha ya raia.โ€

2. Demokrasia

Mshairi anapinga mfumo wa chama kimoja. Kwake yeye, mfumo huu, unawanyima watu uhuru wa kutoa maoni yao na kukosoa pale mapungufu yanapojitokea. Shairi hili liitwalo TAIFA WAMELIZIKA liliandikwa kipindi ambacho Tanzania ilikuwa katika mfumo wa chama kimoja. Hata hivyo bado lina uhalisia hasa ukizingatia uminywaji wa demokrasia na uhuru wa vyama vya upinzani leo hii. Mshairi anasema,

โ€œMezikwa demokrasi, Chama kimoja ndo' ngao

Watu hawana nafasi, kutetea nchi yao

Mawazo ya ukakasi, mawazo ya mtitioโ€ฆโ€

3. Mapenzi

Mshairi anaeleza jinsi mapenzi yanavyoweza kumtesa mtu hasa pale unayempenda anaposhindwa kukuelewa. Katika shairi la NJIWA KIUMBE MTINI mshairi anasema,

โ€œNimejaribu kuongea, ndege awe mkononi,

Yeye juu hurukia, namuomba samahani,

Nyimbo ananiimbia, nyimbo zachoma moyoni,

Basi mie taabani, njiwa akitabasamu.โ€

SOMA ZAIDI|READ MORE



Cookie Consent
We serve cookies on this site to analyze traffic, remember your preferences, and optimize your experience.
Oops!
It seems there is something wrong with your internet connection. Please connect to the internet and start browsing again.
AdBlock Detected!
We have detected that you are using adblocking plugin in your browser.
The revenue we earn by the advertisements is used to manage this website, we request you to whitelist our website in your adblocking plugin.
Site is Blocked
Sorry! This site is not available in your country.